Kocha aliyepata kuifundisha klabu ya
Barcelona ya nchini Hispania Gerardo Martino ametangaza kikosi chake cha taifa
cha argentina kitakachocheza na ujeruman katika mechi ya kirafiki katika mji wa
Dusseldorf.
Kocha aliyepata kuifundisha klabu ya
Barcelona ya nchini Hispania Gerardo Martino ametangaza kikosi chake cha taifa
cha argentina kitakachocheza na ujeruman katika mechi ya kirafiki katika mji wa
Dusseldorf.

Gerlado martino kocha mpya wa timu ya taifa ya Argentina
Katika kikosi hicho hakuna
mabadiliko sana kutoka katika kikosi alichokuwa nacho Alejandro Sabella katika
mashindano ya kombe la dunia brazil mwezi june hadi july mwaka huu,isipokuwa
wachezaji watatu pekee ndio wameachwa nje ambapo wachezaji hao ni Fernando
Gago, Agustin Orion na Maxi Rodriguez.
Katika hatua hiyo ni kwamba martino
ataweza kuongeza wachezaji wengine watatu katika mechi nyingine inayotarajiwa
kuchezwa September 3 kutokana na kalenda ya FIFA kwa kuangalia hasa wale walio
nje ya kwa sasa atakitegemea kikosi hicho alichokichagua.
Kikosi alichokichagua: Sergio Romero (Sampdoria), Mariano Andujar (Napoli); Pablo
Zabaleta (Manchester City), Federico Fernandez (Napoli), Ezequiel Garay (Zenit
St Petersburg), Marcos Rojo (Manchester United), Hugo Campagnaro (Inter Milan),
Martin Demichelis (Manchester City), Jose Basanta (Fiorentina); Javier
Mascherano (Barcelona), Lucas Biglia (Lazio), Ricardo Alvarez (Inter Milan),
Augusto Fernandez (Celta Vigo), Angel Di Maria (Real Madrid), Enzo Perez
(Benfica); Lionel Messi (Barcelona), Gonzalo Higuain (Napoli), Sergio Aguero
(Manchester City), Rodrigo Palacio (Inter Milan), Ezequiel Lavezzi (Paris
Saint-Germain).
No comments:
Post a Comment