Thursday, 6 November 2014

SERIKALI IMEOMBA MSAADA WA FEDHA KUWASAIDIA WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU


Serikali imeomba shilingi bilioni 3 wizara ya uchumi kwa lengo la kuwakopesha wanafunzi wa elimu ya juu waliokosa mikopo.
 
waziri mkuu wa tanzania mheshimiwa Kayanza Peter Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda amesema serikali imeomba shilingi bilioni 13 wizara ya fedha na uchumi ili iweze kuharakisha kuwakopesha wanafunzi wa elimu ya juu zaidi ya elfu nane waliokosa mikopo baada ya serikali kuongeza idadi ya wanafunzi wa masomo ya sayansi.

Tuesday, 2 September 2014

Tuesday, 19 August 2014

Tata Martino ataja kikosi cha Argentina kuivaa germany



Kocha aliyepata kuifundisha klabu ya Barcelona ya nchini Hispania Gerardo Martino ametangaza kikosi chake cha taifa cha argentina kitakachocheza na ujeruman katika mechi ya kirafiki katika mji wa Dusseldorf.


Kocha aliyepata kuifundisha klabu ya Barcelona ya nchini Hispania Gerardo Martino ametangaza kikosi chake cha taifa cha argentina kitakachocheza na ujeruman katika mechi ya kirafiki katika mji wa Dusseldorf.
 

 Gerlado martino kocha mpya wa timu ya taifa ya Argentina

TAZAMA TUKIO LA MOTO ULIOUNGUZA NYUMBA MOJA HUKO MAENEO YA IPAGALA MJINI DODOMA.

DODOMA
baadhi ya vitu vilivyonusurika kuungua na moto katika maeneo ya ipagala mkoani dodoma.

mwandishi wa rasi fm John Banda akifanya mahojiano na mama mwenye nyumba iliyoungua moto mkoani dodoma katika maeneo ya ipagala kusini maarufu kama mbwekoo

REAL MADRID YALAZIMISHWA SARE NYUMBANIA, KAZI NI NGUMU MARUDIANO VINCENTE CALDERONA!!!!

 

Real madrid imeshindwa kutamba katika uwanja wake wa bernabeu baada ya kulazimishwa sare na mabingwa wa la liga msimu wa 2014/15 Atletico de madrid katika mchezo wa super cup uliomalizika hivi punde.

VIJANA 10 ARSENAL WAPATA SARE UGENINI LIGI YA MABINGWA

>>ni play off dhidi ya beskitas

>>Ramsey aondoka na kadi nyekundu 

ARSENAL imejiweka katika mazingira mazuri ya kuvuka hatua ya mchujo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana na wenyeji Beskitas, Uwanja wa Ataturk. 
The Gunnes walimpoteza nyota wao, Aaron Ramsey aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano na kuwa nyekundu dakika ya 80 baada ya kucheza rafu.
mshambuliaji mpya wa Besiktas aliyejiunga kwa Pauni Milioni 4.7 kutoka Chelsea msimu huuakionesha vitu vyake.

ILI KUBORESHA SOKA TANZANIA ,KOZI YA MAKOCHA KUFANYIKA SEPTEMBA 4 JIJINI DAR ES SALAAM


KOZI ya ukocha wa Leseni A inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) inatarajiwa kufanyika mara ya kwanza nchini,katika jiji la Dar es Salaam kuanzia Septemba 4 mwaka huu.
Mkufunzi wa kozi hiyo itakayofanyika Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume atatoka CAF, na itamalizika Septemba 8 mwaka huu wakati ada ya ushiriki ni sh. 300,000.