baadhi ya vitu vilivyonusurika kuungua na moto katika maeneo ya ipagala mkoani dodoma. |
mwandishi wa rasi fm John Banda akifanya mahojiano na mama mwenye nyumba iliyoungua moto mkoani dodoma katika maeneo ya ipagala kusini maarufu kama mbwekoo |
mahojiano na mwenye nyumba iliyoshika moto na John Banda mwandishi wa rasi fm yakiendelea. |
wafanyakazi wa kikosi cha zimamoto wakifanya kazi yao kuuzima moto uliosababishwa na itilafu ya umeme mkoani dodoma. |
wakazi wa nyumba iliyoungua na moto wakijitahidi kuokoa baadhi ya vitu. |
No comments:
Post a Comment